Maelezo ya Chini
b Hatujui ikiwa Mkristo yeyote Myahudi alitoa dhabihu Siku ya Upatanisho baada ya siku ya Pentekoste ya mwaka wa 33 W.K. Bila shaka, Mkristo ambaye angefanya hivyo angeonyesha kwamba haheshimu dhabihu ya Yesu. Lakini, Wakristo fulani Wayahudi walishikilia mapokeo mengine yaliyohusiana na Sheria.—Gal. 4:9-11.