Maelezo ya Chini
b Ili kuwafundisha watoto wadogo, wazazi wanaweza kutumia kitabu Jifunze Kutoka kwa Mwalimu Mkuu, kinachokazia mafundisho ya Yesu Kristo, au Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia, ambacho kinasimulia kwa lugha rahisi mambo muhimu kutoka katika Biblia. Ili kuwafundisha vijana, wazazi wanaweza kutumia kitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, Buku la 1 na la 2.