Maelezo ya Chini
b Maneno ya Paulo kwenye mstari huo yanarejelea unabii wa kwanza wa Biblia ulio katika Mwanzo 3:15 ambao unaeleza kuhusu kuangamizwa kwa Ibilisi. Ili kueleza tukio hilo, Paulo alitumia neno la Kigiriki linalomaanisha “kuvunja-vunja, kutikisa-tikisa, kuvunja vipande-vipande kwa kuponda.”—Vine’s Complete Expository Dictionary of Old and New Testament Words.