Maelezo ya Chini
b Inapendeza kuona kwamba Zamora alitumia jina la Mungu, bali si jina la cheo, katika ombi lake kwa papa wa Roma. Katika tafsiri ya Kihispania ya ombi la Zamora, jina hilo ni “Yahweh.” Haijulikani kabisa jinsi jina hilo lilivyokuwa katika maandishi ya Kilatini. Kuhusu tafsiri ya Zamora na matumizi ya jina la Mungu, ona sanduku “Kutafsiri Jina la Mungu” katika ukurasa wa 19.