Maelezo ya Chini
a Buku la Insight on the Scriptures linaeleza: “Mtu alipopata maono kutoka kwa Mungu akiwa macho, inaonekana mambo aliyoona yalibaki katika akili yake. Baadaye, angekumbuka maono hayo na kuyaeleza au hata kuyaandika kwa maneno yake mwenyewe.”—Limechapishwa na Mashahidi wa Yehova.