Maelezo ya Chini
a Katika utangulizi wa Biblia yake, Webster aliandika hivi: “Wakati wowote maneno yanapoeleweka kwa njia tofauti na jinsi yalivyoeleweka mwanzoni, na kwa maana tofauti na ile ya lugha za awali, hayamsaidii msomaji kuelewa Neno la Mungu kwa usahihi.”