Maelezo ya Chini
a Mwanzoni, Abrahamu aliitwa Abramu naye mke wake aliitwa Sarai. Baadaye, Mungu alibadili jina la Abramu kuwa Abrahamu, linalomaanisha “Baba ya Umati” na pia akabadili jina la Sarai kuwa Sara, linalomaanisha “Binti ya Mfalme.” (Mwanzo 17:5, 15) Ili kurahisisha mambo katika mfululizo huu, tutatumia majina Abrahamu na Sara.