Maelezo ya Chini
a Biblia haifundishi kwamba Mungu alikuwa baba ya Yesu kupitia uhusiano wa kimwili na mwanamke. Badala yake, Yehova aliumba kiumbe wa roho ambaye baadaye alitumwa duniani na kuzaliwa na bikira Maria. Hivyo, kwa kufaa Mungu anaweza kuitwa Baba yake kwa kuwa yeye ndiye aliyemuumba Yesu.