Maelezo ya Chini
a Katika makala iliyotangulia ya mfululizo huu, tuliona jinsi Esta aliyekuwa yatima alivyolelewa na Mordekai, binamu yake mkubwa, na baadaye akachaguliwa kuwa mke wa Ahasuero, mfalme wa Uajemi. Hamani, ambaye alikuwa mshauri wa mfalme, alipanga njama ya kuwaangamiza watu wa Mordekai, yaani, Wayahudi. Mordekai alimsadikisha Esta kwenda mbele ya mfalme ili kuwatetea Wayahudi.—Ona makala “Igeni Imani Yao—Aliwatetea Watu wa Mungu,” katika toleo la Mnara wa Mlinzi la Oktoba 1, 2011.