Maelezo ya Chini
b Maangamizi makubwa yaliyofanywa na Wanazi ni mfano unaoonyesha jinsi serikali ilivyojaribu kuangamiza vikundi vya kidini na kijamii. Pia, wakati wa utawala wa Muungano wa Sovieti, vikundi vya kidini katika nchi zilizokuwa chini ya muungano huo vilikandamizwa sana. Ona makala yenye kichwa “Watu Wanaopenda Amani Watetea Jina Lao Zuri,” katika toleo la Mnara wa Mlinzi la Mei 1, 2011, linalochapishwa na Mashahidi wa Yehova.