Maelezo ya Chini
a Neno la lugha ya awali ambalo limetafsiriwa hapa kuwa “takataka” lilimaanisha pia “vitu ambavyo vinatupiwa mbwa,” “mavi ya ng’ombe,” “kinyesi.” Msomi mmoja wa Biblia anasema kwamba Paulo alitumia neno hilo kumaanisha “azimio la kuacha kabisa kitu fulani kisicho na thamani na chenye kuchukiza na ambacho mtu hataki kamwe kukiona tena.”