Maelezo ya Chini
a Neno “apokrifa” linatokana na neno la Kigiriki ambalo linamaanisha “kuficha.” Mwanzoni neno hilo lilimaanisha maandishi ambayo yalisomwa tu na kikundi fulani cha watu waliokuwa na maoni yaliyopatana na ambayo yalifichwa kutoka kwa watu ambao hawakuwa sehemu ya kikundi hicho. Hata hivyo, baadaye neno hilo likatumiwa kumaanisha maandishi ambayo hayakuonwa kuwa kati ya vitabu vya Biblia vinavyokubalika.