Maelezo ya Chini
c Danieli alitabiri uharibifu mbaya ambao mfalme huyo angesababisha wakati wa vita hivyo kwa kuandika hivi: “Naye atasababisha uharibifu kwa njia ya ajabu [ya kutisha].” (Dan. 8:24) Kwa mfano, Marekani ilisababisha uharibifu usio na kifani ilipoangusha mabomu mawili ya atomu juu ya maadui wa serikali hiyo pacha ya ulimwengu.