Maelezo ya Chini
a Mara nyingi Maandiko yanamtaja Yehova kuwa Baba. Kwa mfano, tunasoma kumhusu Yesu akitumia neno “Baba” karibu mara 65 katika vitabu vitatu vya kwanza vya Injili na zaidi ya mara 100 katika Injili ya Yohana. Pia, Paulo anamwita Mungu “Baba” zaidi ya mara 40 katika barua zake. Yehova ni Baba katika maana ya kwamba ndiye Chanzo cha uhai wetu.