Maelezo ya Chini
b Inapendeza kuona kwamba Ruthu hakutumia tu jina la cheo “Mungu” kama vile ambavyo watu wengi wa mataifa ya kigeni wangefanya; alitumia pia jina la kibinafsi la Mungu, Yehova. Tafsiri ya The Interpreter’s Bible inasema hivi: “Hivyo basi, mwandikaji anakazia kwamba mgeni huyo ni mfuasi wa Mungu wa kweli”