Maelezo ya Chini
a Ilikuwa baada ya kuzaliwa kwa Absalomu, ndipo Mungu alipompa Daudi ahadi kuhusu “uzao” ambao ungetokea wakati ujao na kurithi kiti chake cha ufalme. Kwa hiyo, bila shaka Absalomu alijua kwamba Yehova hakuwa amemchagua yeye kurithi kiti cha ufalme cha Daudi.—2 Sam. 3:3; 7:12.