Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

c Maneno “kuzikomesha falme hizi zote” yaliyo katika Danieli 2:44 yanarejelea falme, au serikali kuu za ulimwengu, zinazofananishwa na sehemu mbalimbali za sanamu hiyo. Hata hivyo, unabii mwingine wa Biblia kama huo unaonyesha kwamba “wafalme wa dunia nzima inayokaliwa” watajipanga dhidi ya Yehova katika “siku kuu ya Mungu Mweza-Yote.” (Ufu. 16:14; 19:​19-21) Kwa hiyo, si falme zinazofananishwa na sanamu hiyo tu zitakazoharibiwa kwenye ­Har–​Magedoni bali pia falme nyingine zote za ulimwengu huu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki