Maelezo ya Chini
a Danieli hakumwona Mungu kihalisi. Badala yake, Mungu alimfanya aone mambo waziwazi. Kisha, alipokuwa akieleza mambo aliyoona, Danieli alitumia usemi wa mfano unaomtaja Mungu akiwa na sifa za kibinadamu. Maneno kama hayo ya mfano yanatusaidia kumfahamu Mungu vizuri zaidi, lakini hatupaswi kuyaelewa kihalisi.