Maelezo ya Chini
a Maneno “kuwekwa msingi wa ulimwengu” yanahusiana na wazo la kupanda mbegu, yakimaanisha kuzaa, hivyo yanahusiana na mzao wa kwanza kabisa wa wanadamu. Hata hivyo, kwa nini Yesu alihusianisha Abeli na “kuwekwa msingi wa ulimwengu” na si Kaini, ambaye alikuwa mwanadamu wa kwanza kuzaliwa? Maamuzi na matendo ya Kaini yalitokeza uasi wa kimakusudi dhidi ya Yehova Mungu. Kama tu wazazi wake, inawezekana kwamba Kaini hana tumaini la kukombolewa na kufufuliwa.