Maelezo ya Chini
b Maandiko ya Kiebrania yaliyotumiwa na Wakristo wa mapema yalikuwa na herufi za Tetragramatoni. Ushahidi unaonyesha kwamba ndivyo ilivyokuwa katika nakala za mapema za Septuajinti, yaani, tafsiri ya Kigiriki ya Maandiko ya Kiebrania.