Maelezo ya Chini
b Namna gani ikiwa unakumbuka maneno makuu katika andiko lakini hukumbuki kitabu, sura, na mstari? Inaelekea kwamba utapata andiko hilo ukitafuta maneno hayo katika fahirisi iliyo kwenye kurasa za nyuma za Biblia, katika Watchtower Library, au katika konkodansi ya Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Kiingereza.