Maelezo ya Chini
a Wasomi wengi wanakubali kwamba chini ya Sheria, mhalifu aliuawa kabla ya mwili wake kutundikwa juu ya mti. Hata hivyo, kuna ushahidi unaoonyesha kwamba katika karne ya kwanza, Wayahudi waliwatundika wahalifu fulani juu ya mti wakiwa hai na baadaye wakafa.