bFungu la 3: Kwa kuwa mitume wa Yesu walikuwa wamekufa na watiwa-mafuta waliobaki duniani walifananishwa na ngano wala si watumwa, kwa kufaa watumwa hao wanafananisha malaika. Baadaye katika mfano huo, wale wanaokusanya magugu wanatambulishwa kuwa malaika.—Mt. 13:39.