Maelezo ya Chini
e Fungu la 14: Huu ni uelewaji uliorekebishwa wa andiko la Mathayo 13:42. Awali, machapisho yetu yalisema kwamba Wakristo wa uwongo wamekuwa ‘wakilia na kusaga meno yao’ kwa makumi ya miaka wakiomboleza kwamba “wana wa ufalme” wanafunua wazi kuwa wao ni “wana wa yule mwovu.” (Mt. 13:38) Hata hivyo, tunapaswa kuzingatia kwamba wazo la kulia na kusaga meno linahusiana na uharibifu.—Zab. 112:10.