Maelezo ya Chini
f Fungu la 16: Andiko la Danieli 12:3 linasema kwamba “wale walio na ufahamu [Wakristo watiwa-mafuta] watang’aa kama mwangaza wa anga.” Wakiwa wangali duniani, wanang’aa kwa kushiriki katika kazi ya kuhubiri. Hata hivyo, Mathayo 13:43 linataja wakati ambapo watang’aa kwa uangavu katika Ufalme wa mbinguni. Awali, tulifikiri kwamba maandiko hayo mawili yalirejelea utendaji uleule, yaani, kazi ya kuhubiri.