Maelezo ya Chini
e Fungu la 13: Maneno ya mtume Paulo katika Matendo 20:29 30 yanaonyesha kwamba kutaniko lingeshambuliwa na vikundi viwili. Kwanza, Wakristo wa uwongo (“magugu”) ‘wangeingia katikati’ ya Wakristo wa kweli. Pili, baadhi ya watu ‘wangetoka katikati’ ya Wakristo wa kweli na kuwa waasi-imani, wakisema “mambo yaliyopotoka.”