Maelezo ya Chini
b Pia, eneo lililokuwa na Bustani ya Edeni, lilikuwa limeharibiwa na gharika. Ikiwa ndivyo, makerubi waliokuwa wakilinda mwingilio wa bustani walirudi mbinguni, baada ya mgawo wao wa miaka 1600 kukamilika.—Mwanzo 3:22-24.
b Pia, eneo lililokuwa na Bustani ya Edeni, lilikuwa limeharibiwa na gharika. Ikiwa ndivyo, makerubi waliokuwa wakilinda mwingilio wa bustani walirudi mbinguni, baada ya mgawo wao wa miaka 1600 kukamilika.—Mwanzo 3:22-24.