Maelezo ya Chini
a Nadharia kuhusu lugha hasa hutegemea wazo la kwamba wanadamu walitokana na nyani. Ili kupata habari zaidi kuhusu madai hayo, ona ukurasa wa 27-29 wa broshua Maswali Matano Muhimu Kuhusu Chanzo cha Uhai, iliyochapishwa na Mashahidi wa Yehova.