Maelezo ya Chini
b Mungu anachukia watu wanaotalikiana kwa udanganyifu na hila. Lakini mwenzi wa ndoa anapofanya uasherati, Mungu anamruhusu mwenzi asiye na hatia kuamua kama atamtaliki. (Malaki 2:16; Mathayo 19:9) Ona makala “Maoni ya Biblia—Mungu Huchukia Talaka ya Aina Gani?” katika gazeti Amkeni! la Februari 8, 1994, lililochapishwa na Mashahidi wa Yehova.