Maelezo ya Chini
b Jua lilipotua, Nisani 15 ilianza, na hivyo mwaka huo, Sabato ya kawaida ya kila juma (Jumamosi) iliangukia siku ya kwanza ya Sherehe ya Keki Zisizo na Chachu, ambayo sikuzote ilikuwa sabato. Kwa kuwa Sabato zote mbili zilifanywa siku moja, ilikuwa Sabato “kuu.”—Soma Yohana 19:31, 42.