Maelezo ya Chini
a Msomi mmoja wa Biblia aliandika hivi kuhusu maneno ya Mungu yaliyo katika Kutoka 3:14: “Hakuna chochote kinachoweza kumzuia kutimiza mapenzi yake . . . Jina hili [Yehova] lingekuwa ngome kwa Waisraeli, chanzo cha tumaini na faraja milele.”