Maelezo ya Chini
d Ripoti kutoka nchi mbalimbali zinaonyesha kwamba kuishi mbali na mwenzi wa ndoa au watoto ili kufanya kazi kumesababisha matatizo makubwa kama vile, wenzi wa ndoa kukosa uaminifu, ngono kati ya watu wa jinsia moja, au ngono kati ya watu wa ukoo, watoto kuwa na tabia mbaya, hasira, mahangaiko, kushuka moyo, kutaka kujiua, na kutofanya vizuri katika masomo yao.