a Baada ya kutajwa katika tukio lililotokea Yesu alipokuwa na umri wa miaka 12, Yosefu hatajwi tena kwenye masimulizi ya Injili. Baadaye, mama ya Yesu na vilevile ndugu na dada zake wanatajwa lakini Yosefu hatajwi. Pindi moja Yesu anaitwa “mwana wa Maria” bila Yosefu kutajwa.—Marko 6:3.