Maelezo ya Chini
a Charles Darwin alisema katika kitabu chake (The Descent of Man) kwamba viungo kadhaa vya mwili wa mwanadamu “havihitajiki.” Mwana-mageuzi mwingine alisema kwamba kuna ‘viungo vingi visivyohitajika’ katika mwili wa mwanadamu, kutia ndani kidole-tumbo na tezi za dundumio.