Maelezo ya Chini
b Katika nyakati za Biblia, ilikuwa desturi kuwa na ndoa ya ndugu-mkwe, ambapo mwanamume angemwoa mjane aliyeachwa na ndugu yake aliyekufa bila kuzaa mtoto wa kiume na kuendeleza ukoo wa ndugu yake.—Mwa. 38:8; Kum. 25:5, 6.
b Katika nyakati za Biblia, ilikuwa desturi kuwa na ndoa ya ndugu-mkwe, ambapo mwanamume angemwoa mjane aliyeachwa na ndugu yake aliyekufa bila kuzaa mtoto wa kiume na kuendeleza ukoo wa ndugu yake.—Mwa. 38:8; Kum. 25:5, 6.