Maelezo ya Chini
c Wale watakaofufuliwa ili kuishi duniani wana tumaini la kupata uzima wa milele, bali si hali ya kutoweza kufa. Ili kujifunza mengi zaidi kuhusu tofauti kati ya hali ya kutoweza kufa na uzima wa milele, tazama gazeti la Mnara wa Mlinzi la Kiingereza la ApriliĀ 1, 1984, ukurasa wa 30-31.