Maelezo ya Chini
g Katika unabii wake kuhusu siku za mwisho, Yesu alisema hivi: “Yerusalemu [jiji lililowakilisha utawala wa Mungu] litakanyagwa-kanyagwa na mataifa, mpaka nyakati zilizowekwa za mataifa zitimie.” (Luka 21:24) Kwa hiyo kukatizwa kwa utawala wa Mungu kulikuwa kunaendelea Yesu alipokuwa duniani na kungeendelea hadi siku za mwisho.