Maelezo ya Chini
a Biblia inaonyesha kwamba Yosefu alikuwa na umri wa miaka 17 au 18 alipoingia katika nyumba ya Potifa na alikaa huko kwa muda mrefu vya kutosha kukua kufikia kuwa mwanamume—huenda miaka kadhaa. Alikuwa na umri wa miaka 30 alipoachiliwa kutoka gerezani.—Mwanzo 37:2; 39:6; 41:46.