Maelezo ya Chini
a Kwa kusikitisha, tafsiri nyingi za Biblia hazina jina la Mungu, licha ya kwamba linapatikana mara nyingi kwenye Maandiko ya Kiebrania yanayojulikana kama Agano la Kale. Badala yake jina la Mungu limeondolewa na mahali pake pakachukuliwa na majina ya cheo kama vile Bwana au Mungu. Kwa habari zaidi kuhusu jina la Mungu, ona ukurasa wa 195-197 kwenye kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa? kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova.