Maelezo ya Chini
a Ingawa wenzi wa ndoa wanapaswa kutatua matatizo kati yao na kujaribu kusameheana, Biblia inamruhusu mwenzi asiye na hatia kuamua kusamehe au kumtaliki mwenzi anayefanya uzinzi. (Mt. 19:9) Tazama makala yenye kichwa “Maoni ya Biblia: Uzinzi—Kusamehe au Kutosamehe?” katika toleo la Agosti 8, 1995, la gazeti la Amkeni!