Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Cerebral Palsy (CP) ni aina fulani ya ugonjwa wa kupooza kwa ubongo unaofanya mtu ashindwe kutembea au hata kusonga. Ugonjwa huo unaweza kumfanya mtu aanguke ni kana kwamba ana kifafa, apate matatizo ya kula, na ashindwe kuzungumza vizuri. Ugonjwa wa kupooza ubongo unaoitwa Spastic quadriplegia ndio mbaya zaidi kati ya magonjwa yote ya kupooza ubongo kwani unaweza kumfanya mgonjwa akakamae mikono na miguu na hata kusababisha shingo yake ilegee.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki