Maelezo ya Chini
d Kwa kweli, Neno la Mungu lina mambo mengi ambayo huenda yakawa ‘magumu kueleweka,’ kutia ndani mambo fulani aliyoandika Paulo. Hata hivyo, waandikaji wote wa Biblia waliongozwa na roho takatifu. Roho hiyohiyo huwasaidia Wakristo wa kweli leo kuelewa kweli za Biblia, na kuelewa zaidi “hata mambo mazito ya Mungu” ambayo yanapita uwezo wetu wa akili.—2 Pet. 3:16, 17; 1 Kor. 2:10.