Maelezo ya Chini
a Katika mfano huo, muda fulani unapita kati ya kutolewa kwa ule mwito, “Huyu hapa bwana-arusi!” (mstari wa 6) na kuja au kuwasili kwa bwana-arusi (mstari wa 10). Katika kipindi chote cha siku za mwisho, watiwa-mafuta walio macho wametambua ishara ya kuwapo kwa Yesu. Kwa hiyo, wanajua kwamba Yesu yuko “hapa,” yaani, anatawala akiwa Mfalme. Hata hivyo, wanapaswa kuendelea kukesha hadi atakapokuja, au atakapowasili.