Maelezo ya Chini
d Baada ya mitume kufa, Shetani alianzisha uasi-imani ambao ulisitawi kwa karne nyingi. Katika kipindi hicho, kazi ya kufanya wanafunzi wa kweli wa Kristo ilifanywa kwa kiwango kidogo sana. Lakini hali hiyo ingebadilika “wakati wa mavuno,” yaani, siku za mwisho. (Mt. 13:24-30, 36-43) Tazama Mnara wa Mlinzi, Julai 15, 2013, ukurasa wa 9-12.