Maelezo ya Chini
b Neno “Betheli,” linamaanisha “Nyumba ya Mungu,” nalo hutumiwa na Mashahidi wa Yehova kumaanisha ofisi zao za tawi ulimwenguni pote. (Mwanzo 28:17, 19) Wanabetheli hufanya kazi mbalimbali zinazotegemeza kazi ya elimu ya Mashahidi wa Yehova.