Maelezo ya Chini
a Kulingana na kitabu Manuscripts of the Greek Bible, paliografia “ni mbinu ya kuchunguza maandishi ya kale.” Baada ya muda fulani, mtindo wa mwandiko hubadilika. Mabadiliko hayo yanaweza kusaidia kukadiria umri wa hati za zamani zinapolinganishwa na hati nyingine zenye tarehe.