Maelezo ya Chini
a Ikiwa kijana Mkristo amekomaa kiroho, ni mnyenyekevu, na anatimiza matakwa ya Kimaandiko, wazee wanaweza kumpendekeza kuwa mtumishi wa huduma hata kama hajafikia umri wa miaka 20.—1 Tim. 3:8-10, 12; tazama gazeti la Mnara wa Mlinzi la Julai 1, 1989, ukurasa wa 29.