Maelezo ya Chini
a Baadhi ya watu huipinga Biblia kwa sababu ya mafundisho ya zamani na ya sasa ya dini kama vile kuamini kwamba dunia ni kitovu cha ulimwengu wote au kwamba Mungu aliumba dunia katika siku sita zenye urefu wa saa 24.—Tazama sanduku lenye kichwa “Biblia na Mambo Yaliyothibishwa Kisayansi.”