Maelezo ya Chini
a Kwa mfano, nyakati fulani, Waisraeli walishindwa vita walipoamua kupigana na Waamaleki na Wakanaani baada ya Mungu kuwakataza kufanya hivyo. (Hesabu 14:41-45) Miaka mingi baadaye, Mfalme Yosia mwaminifu alipigana vita bila ruhusa ya Mungu na uamuzi huo ulimfanya apoteze uhai wake.—2 Mambo ya Nyakati 35:20-24.