Maelezo ya Chini
b Timotheo alikuwa tayari kutahiriwa alipoombwa na Paulo—si kwamba hilo lilikuwa takwa kwa Wakristo bali kwa sababu Paulo hakutaka Wayahudi ambao angewahubiria wapate sababu yoyote ya kumpinga kijana huyo ambaye baba yake alikuwa mtu wa Mataifa.—Matendo 16:3.